Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA HUYU MWAMBA, ANACHAPA KAZI KWELI KWELI
    KITAIFA

    SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA HUYU MWAMBA, ANACHAPA KAZI KWELI KWELI

    ChikaoBy ChikaoJuly 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa Fadlu yupo likizo ila anafanya kazi kwa moyo mkubwa akiwa Tanzania.

    “Katika vitu ambavyo tunapaswa kujivunia kwa hali na mali Wanasimba ni uwepo wa Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Yupo likizo lakini alitoka Afrika Kusini na kuelekea Dubai kuongea na Mo.

    “Kwa sasa Fadlu yupo Tanzania akifuatilia hatua kwa hatua wachezaji atakaowasajili na kufanya mipango ya msimu ujao. Anafanya kazi kwa moyo mkubwa mno katika kutimiza majukumu yake. Wanasimba tunapaswa kujivunia kuwa na kocha huyu,”.

    Simba SC msimu wa 2024/25 ilikuwa chini ya Fadlu ambaye dakika 180 mbele ya Yanga SC kwenye mechi za ligi zote alipotea mzunguko wa kwanza na ule wa pili.

    Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ilikuwa Simba SC 0-1 Yanga SC na mzunguko wa pili, Yanga SC 2-0 Simba SC. NI mechi mbili alipoteza baada ya kucheza mechi 30 msimu uliopita wakigotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE TAREHE 28-7-2025
    Next Article HUKO SIMBA MAMBO NI KIMYA KIMYA….HII HAPA MASHINE YA KAZI MRITHI WA TSHABALALA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.