Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » KIVUMBI LEO FAINALI YA WAFCON NIGERIA VS MOROCCO
    KIMATAIFA

    KIVUMBI LEO FAINALI YA WAFCON NIGERIA VS MOROCCO

    ChikaoBy ChikaoJuly 27, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Timu ya Taifa ya Wanawake ya Nigeria inatarajia kushuka dimbani usiku wa leo dhidi ya Timu ya Taifa ya Morocco kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake WAFCON katika dimba la Olympic Stadium Rabat Nchini Morocco.

     

    Morocco ilifanikiwa kufika kufika hatua hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju 4-2 ya penati dhidi ya Ghana kufuatia sare ya b1-1 huku Nigeria ikitinga fainali baada ya kuwaondosha mabingwa watetezi wa taji hilo Afrika Kusini kwa kuifunga magoli 2-1.

    Mabingwa mara 9 wa michuano hiyo Nigeria inahitaji kulipa kisasi kwa Morocco na kutwaa taji hilo kufuatia kichapo walichowahi kukipata cha mikwaju ya penati mwaka 2022 na kuondoshwa na Morocco katikaa mchezo wa nusu fainali ya mashindano hayo.

     

    Je Morocco watafanikiwa kubeba ubingwa wa kwanza wa mashindano hayo au Nigeria watafanikiwa kuongeza kombe la 10 la WAFCON katika kabati lao la makombe.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNYOTA WA FOUNTAIN GATE ALAMBA MKATABA WA MIAKA 17
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU TAREHE 28-7-2025

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.