Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป KIBU DENNIS WA SIMBA SC 2024/25 MABAO MANNE
    KITAIFA

    KIBU DENNIS WA SIMBA SC 2024/25 MABAO MANNE

    ChikaoBy ChikaoJuly 7, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    SIMBA SC katika anga la kimataifa msimu wa 2024/25 imegotea nafasi ya pili kwa kupoteza mchezo wa fainali dhidi ya RS Berkane ya Morocco.

    Katika dakika 180, Simba SC ilifungwa jumla ya mabao 3-1, bao la kufutia machozi kwa Simba SC lilifungwa na Joshua Mutale mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex.

    Kibu Dennis ni miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa katika ubora kwenye mashindano ya kimataifa kwa kufunga mabao muhimu katika mechi za ushindani Kombe la Shirikisho Afrika.

    Katika Ligi Kuu Bara 2024/25 haukuwa msimu bora kwa Kibu D kutokana na namba kuwa chini hasa katika eneo la kutengeneza pasi za mwisho.

    Kibu D alitoa jumla ya pasi nne na kufunga mabao manne na kasi katika kufunga mabao ilianza kuonekana katika mzunguko wa pili.

    Rekodi zinaonyesha kuwa amecheza jumla ya mechi 24 za ligi ya NBC akifunga mabao manne na kutoa pasi nne hivyo kahusika katika mabao 8 kati ya 69 yaliyofungwa na Simba SC.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleZAMBIA NA MOROCCO WAIANZISHA WAFCON KWA SARE
    Next Article TETESI ZA USAJILI SIMBA LEO 2025/26

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.