Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA
    KIMATAIFA

    AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA

    ChikaoBy ChikaoJuly 28, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Aliyekuwa beki tegemeo wa Simba SC, Henock Inonga Baka, ameaga rasmi klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja pekee.

    Kupitia taarifa rasmi ya klabu hiyo, AS FAR imeuthibitisha kuachana na beki huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa heshima na shukrani kwa mchango wake katika kikosi hicho.

    Inonga alijiunga na AS FAR Rabat msimu wa 2024/2025 akitokea Simba SC ya Tanzania, ambako alikuwa nguzo muhimu katika safu ya ulinzi na mmoja wa wachezaji waliopendwa zaidi na mashabiki.

    “Tunamshukuru Henock Inonga kwa huduma yake ndani ya kikosi chetu na tunamtakia kila la heri katika hatua inayofuata ya maisha yake ya soka,” ilisomeka sehemu ya taarifa ya klabu hiyo.

    Hadi sasa, haijafahamika rasmi ni timu gani inayomuwinda au iwapo atarejea kucheza Afrika Mashariki, ingawa mashabiki wa Simba SC wameendelea kuonyesha matarajio ya kumuona akirudi Msimbazi.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU TAREHE 28-7-2025
    Next Article UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, MWANA FA AFUNGUKA

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.