KITAIFA

ALI KAMWE, ASHANGAZWA NA MAUNO YA BONGE LA DADA

ali kamwe

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ameonyesha kushangazwa na mauno ya Queen Fraison maarufu kama Bonge la Dada, kupitia video iliyosambaa mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Kamwe aliandika kwa utani:

โ€œBora mimi nilikuwa naangalia nyweleโ€ฆโ€ย ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kauli hiyo imeibua vicheko na mijadala miongoni mwa mashabiki, huku wengine wakiongeza maneno yao ya utani na maoni mbalimbali juu ya video hiyo inayomwonyesha Queen Fraison akionesha ujasiri na mvuto wa kipekee.

Queen Fraison ameendelea kuwa gumzo mitandaoni kutokana na muonekano wake na ujasiri wake wa kujiamini, huku akiwavutia maelfu ya wafuasi.

Leave a Comment