Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » RUTO AAHIDI TSH 48 MILIONI KWA KILA MCHEZAJI HARAMBEE STARS KAMA WAKIIFUNGA ZAMBIA
    KIMATAIFA

    RUTO AAHIDI TSH 48 MILIONI KWA KILA MCHEZAJI HARAMBEE STARS KAMA WAKIIFUNGA ZAMBIA

    ChikaoBy ChikaoAugust 12, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Ruto
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Rais wa Kenya, William Ruto, leo amekutana na kikosi cha Harambee Stars na kutoa ahadi nono kuelekea mechi ya mwisho ya Kundi A ya michuano ya CHAN 2024 dhidi ya Zambia, itakayopigwa Jumapili katika Uwanja wa Kasarani.

    Ruto amethibitisha kutimiza ahadi yake ya awali ya kuwapa wachezaji KSh milioni 1 (TSH 19.2 milioni) kila mmoja kwa kila ushindi wa mechi za makundi, lakini safari hii ameongeza dau, akiahidi KSh milioni 2.5 (TSh 48 milioni) kwa kila mchezaji endapo wataibuka na ushindi dhidi ya Zambia.

    Zaidi ya hapo, Rais Ruto ameahidi kutoa KSh milioni 1 (TSH 19.2 milioni) na nyumba ya bei nafuu kwa kila mchezaji iwapo Harambee Stars watashinda mchezo wa robo fainali ya CHAN 2024.

    Ahadi hizo zimechochea ari ya wachezaji na mashabiki, huku matumaini yakiwa juu kwamba timu hiyo itaandika historia mpya kwenye mashindano hayo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRONALDO AMCHUMBIA MPENZI WAKE GEORGINA BAADA YA MIAKA 9
    Next Article PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 13,2025

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.