Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » BALEBA ATAKA KUJIUNGA NA MANCHESTER UNITED
    KIMATAIFA

    BALEBA ATAKA KUJIUNGA NA MANCHESTER UNITED

    ChikaoBy ChikaoAugust 7, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    baleba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Baada ya Manchester United kutoa ofa ya kumhitaji kiungo Carlos Baleba, klabu yake yake Brighton imeweka dau la pauni milioni 100 (zaidi ya Tsh Bilioni 320) kwa kiungo huyo lakini United wanahisi kwamba dili hilo linapaswa kukaribia pauni milioni 70 (zaidi ya Tsh Bilioni 230).

    Baleba anaripotiwa kuwa tayari kujitolea kusaidia kufanikisha uhamisho huo kwa kuwaomba Brighton kupunguza ada ya uhamisho, Baleba ameripotiwa kutaka kujiunga na Manchester United.

    Mchezaji anafurahia kuona jinsi hatua hii inayofuata kwa United inavyoendelea kwani Brighton wanajua jinsi ya kuweka thamani kutoka kwa kila mchezaji wanayemuuza.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMTANZANIA RAHIM SHOMARY ATAMBULISHWA RASMI MISRI
    Next Article YANGA SC NA HAIER FAMILIA, BILIONI 3.3 KUVUNWA

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.