HomeKIMATAIFABALEBA ATAKA KUJIUNGA NA MANCHESTER UNITED

BALEBA ATAKA KUJIUNGA NA MANCHESTER UNITED

Baada ya Manchester United kutoa ofa ya kumhitaji kiungo Carlos Baleba, klabu yake yake Brighton imeweka dau la pauni milioni 100 (zaidi ya Tsh Bilioni 320) kwa kiungo huyo lakini United wanahisi kwamba dili hilo linapaswa kukaribia pauni milioni 70 (zaidi ya Tsh Bilioni 230).

Baleba anaripotiwa kuwa tayari kujitolea kusaidia kufanikisha uhamisho huo kwa kuwaomba Brighton kupunguza ada ya uhamisho, Baleba ameripotiwa kutaka kujiunga na Manchester United.

Mchezaji anafurahia kuona jinsi hatua hii inayofuata kwa United inavyoendelea kwani Brighton wanajua jinsi ya kuweka thamani kutoka kwa kila mchezaji wanayemuuza.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE