Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Mchezaji aanguka na kufariki Burundi
    KIMATAIFA

    Mchezaji aanguka na kufariki Burundi

    ChikaoBy ChikaoDecember 22, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Mchezaji aanguka na kufariki Burundi
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Aime Bigiraneza, mchezaji chipukizi wa klabu ya daraja la pili ya Burundi Les Gêpiers du Lac, alianguka uwanjani na afariki dunia juzi tarehe 20 Desemba 2025.

    Kisa hicho kilitokea wakati wa mechi ya ligi dhidi ya Amasipiri Never Give Up FC kwenye Uwanja wa kituo cha Ufundi mjini Bujumbura.

    Bigiraneza inasemekana alianguka uwanjani wakati wa mchezo huo na kukimbizwa hospitalini na baadaye kukutwa na umauti.

    Wakati ripoti rasmi za matibabu zinasubiri, ripoti za mapema kutoka nchini humo zinaonyesha hali ya kutatanisha inayozunguka janga hilo kuwa huenda mchezaji huyo aliagizwa na makocha wake kucheza na sarafu mdomoni, jambo ambalo linashukiwa kuchangia kifo chake, pengine kwa kubanwa au kuzuiwa.

    Tukio hilo limezua taharuki kubwa katika jamii ya soka ya Burundi, huku wadau mbalimbali wa michezo na vyombo mbalimbali wakieleza rambirambi zao.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNzengeli Afanya Mazoezi na Yanga Princess
    Next Article Hansi Flick afunga sakata la FIFA kumkosea heshima Raphinha

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.