Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป Done Deal: Simba Wamuuza Jean Ahoua Milioni 300 Kwenda Raja Casablabca, Fadlu Asuka Mpango Mzima
    KITAIFA

    Done Deal: Simba Wamuuza Jean Ahoua Milioni 300 Kwenda Raja Casablabca, Fadlu Asuka Mpango Mzima

    ChikaoBy ChikaoDecember 15, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Wakati ligi zikiwa zinasimama kupisha michuano ya mataifa ya Africa AFCON, ni wakati ambao klabu zinatazama ni nani wanamuhitaji kwenye kuongeza nguvu na yule wasie muhitaji katika kikosi.

    Kumeibuka tetesi zikizungumza juu ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba Jean Ahoua kuondoka kwenye kikosi cha timu hiyo katika dirisha dogo la usajili na kuibukia Raja Casablanca, timu ambayo inanolewa na Fadlu Davids ambae aliwahi kuwa kocha wa Simba alieagana na timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu.

    Duru zinasema Fadlu anaihitaji huduma ya Ahoua kwenye kikosi chake cha Raja Casablanca, Jean ambae anasifika kama kwenye uchezaji mzuri kama kiungo mshambuliaji akicheza vizuri katika nafasi hiyo, lakini pia anafahamika vizuri na Fadlu kwasababu waliwah kufanya kazi pamoja.

    Kocha huyo anaamini ahoua anaweza kumsaidia katika kuongeza kasi katika kikosi chake lakini pia kwenye mipira ambayo imekufa kwasababu Ahoua ni mzuri katika nafasi hiyo.

    Mpaka sasa Jean amebakiwa na msimu huu mkataba wake kutamatika msimbazi ambapo kwa taarifa za ndani zinasema kuwa Simba ipo tayari kumuuza ili ifaidike na mchezaji huyo badala ya kuondoka kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMbappe Aendeleza Moto na Na Kuishangaza Dunia kwa Ubora
    Next Article HII HAPA HISTORIA YA AFCON, ILIYOBEBA MATUKIO MAKUBWA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.