Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Vin Diesel adokeza Ronaldo kucheza Fast & Furious
    KIMATAIFA

    Vin Diesel adokeza Ronaldo kucheza Fast & Furious

    ChikaoBy ChikaoDecember 15, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Ronaldo
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Vin Diesel amethibitisha hadharani kwamba staa wa soka Cristiano Ronaldo anaweza kushiriki katika filamu ijayo ya Fast & Furious, ambayo huenda ikawa ni sehemu ya mwisho, Fast X: Part 2.

    Kupitia chapisho la Instagram lenye picha ya wawili hao wakiwa pamoja, Diesel aliandika: “Kila mtu aliuliza, angekuwa katika simulizi za Fast … I gotta tell you he is a real one. Tuliandika jukumu kwa ajili yake … “.

    Ronaldo anatazamiwa kucheza filamu ya mwisho ya Fast & Furious, ambayo mara nyingi hujulikana kama Fast & Furious 11 au Fast X: Sehemu ya 2, ambayo ina tarehe ya kuachiwa mnamo Aprili 2027.

    Ingawa maoni ya Diesel yanaashiria nia ya dhati, wafuasi wa fimamu hiyo wanasubiri uthibitisho rasmi kutoka kwa nyota huyo wa kandanda mwenyewe.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSalah ni Mwendo wa Kuvunja na Kuweka Rekodi Tu
    Next Article Mbappe Aendeleza Moto na Na Kuishangaza Dunia kwa Ubora

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.