Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » COASTAL UNION IMEMPA “THANK YOU” KOCHA WAKE MKUU
    KITAIFA

    COASTAL UNION IMEMPA “THANK YOU” KOCHA WAKE MKUU

    ChikaoBy ChikaoOctober 2, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Uongozi wa Klabu ya Coastal Union umetangaza rasmi kufikia makubaliano ya pande zote mbili kusitisha kandarasi ya Kocha Mkuu, Ali Mohammed Ameir.

    Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imemshukuru Ameir kwa mchango na huduma yake kwa kipindi chote ambacho aliiongoza timu, ikisisitiza mchango wake kuwa wa thamani kubwa katika maendeleo ya kikosi hicho.

    Coastal Union wameweka wazi kuwa watatoa taarifa kwa umma hivi karibuni kuhusu mabadiliko na muundo mpya wa benchi la ufundi muda mchache ujao.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous Article“MPANZU AJIFUNZE KUCHEZA KAMA STAA WA TIMU”
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 3, 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.