Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » RUSHINE AFUNGUKA SIRI YA KUWA BEKI NA KUWA KINARA WA UFUNGAJI MABAO
    KITAIFA

    RUSHINE AFUNGUKA SIRI YA KUWA BEKI NA KUWA KINARA WA UFUNGAJI MABAO

    ChikaoBy ChikaoOctober 2, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Screenshot
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Beki Rushine De Reuck amefunga bao lake la pili la msimu na kuwa kinara wa magoli akiwa na magoli mawili sawa na Paul Peter wa JKT Tanzania na Faisal Salum ‘Feitoto’ wa Azam FC

    Akizungumza amesema “Kwangu mimi ushindi wa timu ndio jambo muhimu, kuhakikisha tunafikia malengo na mafanikio ya juu, Sijui ni bahati tu kuzipata nafasi za kufunga ila lengo ni kuleta ushindi kwenye timu na nafasi ikipatikana unajarib kuitumia” Alisema Rushine De Reuck.

    Lakini pia Selemani Mwalimu ‘Gomez’ amefungua akaunti yake ya magoli kwenye Ligi Kuu bara msimu wa 2025/26 wakati Simba Sc ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Namungo Fc katika dimba la Benjamin Mkapa kukwea kileleni alama 7 baada ya mechi mbili.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 2, 2025
    Next Article “MPANZU AJIFUNZE KUCHEZA KAMA STAA WA TIMU”

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.