Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » LEO SIMBA SC KUKICHAPA NA FOUNTAIN GATE KWA MKAPA
    KITAIFA

    LEO SIMBA SC KUKICHAPA NA FOUNTAIN GATE KWA MKAPA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba sc
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    SELEMAN Matola kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 25 2025.

    Huu unakuwa mchezo wa kwanza kwa Simba SC msimu wa 2025/26 kwenye ligi ambayo imeanza kasi Septemba 17 kwa mechi za ushindani kuendelea ndani ya uwanja.

    Simba SC imetoka kucheza mchezo wa kimataifa dhidi ya Gaborone United ya Botswana inakutana na Fountain Gate ambayo imetoka kupoteza mchezo uliopita wa ligi dhidi ya Mbeya City kwa kufungwa bao 1-0.

    Miongoni mwa wachezaji waliopo katika kikosi cha Simba SC ni Ellie Mpanzu, Kibu Dennis, Moussa Camara, Ladack Chasambi.

    Kiujumla Simba na Fountain Gate FC wamekutana mara tatu katika miaka ya karibuni huku Simba ikishinda mechi 2 na mmoja ukiisha kwa sare.

    Matola amesema: “Tupo tayari kwa mchezo wetu dhidi ya Fountain Gate ambacho tunahitaji ni matokeo na tunajua kwamba mchezo utakuwa na ushindani mkubwa tupo tayari na wachezaji wapo tayari mashabiki wajitokeze kwa wingi.”

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 25,
    Next Article WAYNE ROONEY: SIMCHUKII RONALDO, LAKINI MESSI NI BORA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.