Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » LAMINE YAMAL ATOA NENO KWENYE TUZO YA DEMBELE
    KIMATAIFA

    LAMINE YAMAL ATOA NENO KWENYE TUZO YA DEMBELE

    ChikaoBy ChikaoSeptember 23, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    lamine yamal
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Nyota wa Barcelona raia wa Hispania na mshindi wa tuzo ya mchezaji bora kijana kwa msimu wa pili mfululizo Lamine Yamal amempongeza mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or usiku wa jana Ousmane Dembele kwa kufanikiwa kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa Dunia 2025.

    Lamine ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiandika ujumbe wa shukrani kwa tuzo aliyoitwaa mara ya pili huku akiambatanisha na pongezi hizo kwa staa huyo wa PSG.

    “Mpango wa Mungu ni Mkamilifu na ni lazima upande ili kufika kileleni,Nimefurahia kushinda tuzo ya Kop mara ya pili na nampongeza Ousmane Dembele kwa tuzo hiyo na msimu mzuri”Ameandika Lamine.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMWAMNYETO ASEMA KILICHOTOKEA ANGOLA KITAWAKUTA NA PAMBA
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 24, 2025

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.