HomeKITAIFAYANGA YATUMIA BILION 7.7 KWENYE MISHAHARA YA WACHEZAJI

YANGA YATUMIA BILION 7.7 KWENYE MISHAHARA YA WACHEZAJI

Rais wa Yanga SC Eng. Hersi Said amewataka wanachama wa klabu hiyo kulipia ada kwa kuwa gharama za uendeshaji wa klabu ni kuwa sana.

Eng. Hersi amesema moja ya gharama kubwa zinazowagharimu ni juu ya kulipa mishahara huku akisema kwamba kiasi cha pesa kilichotumika kwenye kulipa Mishahara ndani ya msimu uliopita ni shilingi bilioni 7.6.

Sambamba na hilo Eng. Hersi amesema msimu wa 2024-2025 wanachama wamechangia Bilioni 1.1 kitu ambacho kwa wingi wao ni kiwango kidogo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE