Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MESSI NDIO ALINIFANYA NIWE KOCHA BORA – MOURINHO
    KIMATAIFA

    MESSI NDIO ALINIFANYA NIWE KOCHA BORA – MOURINHO

    ChikaoBy ChikaoAugust 21, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    José Mourinho amefichua kwamba Lionel Messi alimfanya kuwa kocha bora, akikiri kwamba kukabiliana na Muargentina huyo mara kwa mara kulimsukuma kutafakari upya mbinu zake na kufikia kiwango cha juu zaidi cha soka.

    Mtaalamu huyo wa kireno, alipambana na Messi katika baadhi ya mechi kali katika maisha yake ya soka akiwa kocha wa Inter Milan na Real Madrid.

    Alipoulizwa na Sporty Net ataje mchezaji ambaye amemsaidia kukua, Mourinho alijibu: “Messi, kwa sababu kila nilipocheza dhidi yake alinilazimisha kufikiria sana.”

    Wakati akiwa Inter, kikosi cha Mourinho kiliishinda Barcelona ya Messi kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa mwaka 2010 na baadaye akiwa Real Madrid, alikabiliana na Messi mara kwa mara katika mechi za El Clasico.

    Akitafakari juu ya mechi hizo, Mourinho aliwahi kukiri kuwa uwepo wa Messi ulibadilisha njia yake ya kucheza mchezo.

     

    “Messi hakuwahi kuichezea timu yangu, lakini alicheza dhidi yangu na amenifanya kuwa kocha bora kwasababu nilijiandaa vizuri kumzuia,” alisema José Mourinho.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleBASII KWISHA MZUNGUKO KESHO FIKA KWA MKAPA TIKETI UTAIKUTA GETINI
    Next Article RAIS SAMIA AWAPA TAIFA STARS MILIONI 200 KABLA YA KUMENYANA NA MOROCCO

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.