Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA 15-08-2025
    KIMATAIFA

    TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA 15-08-2025

    ChikaoBy ChikaoAugust 15, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Manchester United wanapanga mpango wa pauni milioni 50 kumnunua kiungo wa kati wa Sporting na Denmark Morten Hjulmand, 26, iwapo watamkosa mchezaji wa kimataifa wa Cameroon mwenye umri wa miaka 21 Carlos Baleba. (Sun)

    Tottenham wana imani kwamba wameweka pamoja dili la Eberechi Eze, 27, ambalo litawaridhisha Crystal Palace , ambao wanamthamini kiungo wao wa kati wa England kwa pauni milioni 68. (Team Talk)

    Fulham wanaonyesha nia ya kumnunua mshambuliaji wa Manchester United na Denmark, Rasmus Hojlund, huku AC Milan pia wakifuatilia mpango wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22. (Mirror)

    Chelsea wanapiga hatua katika juhudi zao za kumnunua Alejandro Garnacho, 21, kutoka Manchester United na wanaamini kwamba £35m ni bei nzuri kwa winga huyo wa Argentina. (Team Talk)

    Arsenal wako tayari kufikiria ofa kwa mlinzi wa kushoto wa Ukraine Oleksandr Zinchenko, 28, huku Porto , Fenerbahce na Real Betis wakimtaka. (CaughtOffside),

    Borussia Dortmund wameungana na Bayer Leverkusen kuonyesha nia ya kumchukua (Mirror)

    Inter Milan itatoa muda wa wiki nyingine moja kujaribu kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Nigeria Ademola Lookman, 27, kutoka Atalanta kabla ya kusonga mbele kwa malengo mengine. (Gazzetta dello Sport – in Italian)

    Roma wamemtoa kiungo Manu Kone kwa Inter Milan, ambao wanatafuta makataba wa takriban euro milioni 30 (£26m) kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa, 24. (Gazzetta dello Sport – in Italian)

    Uhamisho wa Liverpool kwa mlinzi wa Parma Giovanni Leoni unausisha pia timu hiyo ya Serie A kuwa na kipengele cha 10% cha mauzo katika mkataba wa Mtaliano huyo mwenye umri wa miaka 18. (Sky Sports Italia -in Italian)

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleWACHEZAJI WA CHELSEA WATOA BONASI ZAO KWA FAMILIA YA DIOGO JOTA
    Next Article BRIGHTON YAENDELEA KUSHIKILIA BOMBA BALEBA KWENDA MAN UTD

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.