Amesema mchezaji kylian Mbappe 🗣“Kama ningelazimika kuchagua kati ya nchi ya baba yangu, Cameroon, au nchi ya mama yangu, Algeria, ningesema nilikulia zaidi katika utamaduni wa Cameroon. Nilikuwa karibu zaidi na familia yangu ya Cameroon.”
“Nchi si kama klabu. Mimi ni Mfaransa, nilikulia Ufaransa. Nina asili ya Algeria na Cameroon, lakini utamaduni wangu ni wa Kifaransa, hivyo kwangu haingekuwa na maana kuwa wa kuchagua kwa maslahi binafsi. Nilikuwa mzuri, na Ufaransa ikanichagua.”
“Tangu hapo, nimekuwa karibu zaidi na upande wangu wa Algeria. Ningependa kutembelea kwa sababu sijawahi kwenda huko Nitamtuma Ethan achezee Algeria na mimi nitachezea Cameroon.”
“Pia nadhani wachezaji hawapaswi kulipwa fedha kwa kuiwakilisha timu ya taifa. Fedha hizo zinaweza kutumika kwa njia bora zaidi, hasa kuwasaidia mashabiki.”
