LATEST POSTS
RAMLA, MWANAMKE WA KWANZA WA KISOMALI KUCHEZA NDONDI
Ramla Ali, mwanamichezo wa kwanza kuwakilisha Somalia katika ndondi kwenye Michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020, na mwanamke wa kwanza wa Kisomali kuingia katika...
YANGA YAIANZA SAFARI YA ANGOLA BAADA YA KUMCHAPA MTANI
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Romain Folz, wameondoka nchini kuelekea Angola kwa ajili...
BAADA YA KUPOTEZA KARIAKOO DABI, SIMBA YATIMKA NCHINI
KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids asubuhi ya Septemba 17 2025 kimeanza safari ya kuelekea nchini Botswana kwa kupitia nchini...
MOURINHO ATAJWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA MKUU WA BENFICA
Jina la kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho linatajwa huenda likarejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati huu ambapo mazungumzo yanaendelea ili akinoe...
Habari Kubwa Katika Magazeti ya leo Septemba 17, 2025
Habari kubwa katika Magazeti ya leo Septemba 17, 2025
Habari, Karibu katika blog yako bora ya habari za michezo ya Sokaleo kwa kuianza asubuhi kwa...
YANGA SC YATWAA TAJI LA NGAO YA JAMII 2025/26
YANGA SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz imetwaa taji la Ngao ya Jamii kwa ushindi mbele ya watani zao wa jadi Simba SC...
SIMBA SC YAPIGA HESABU HIZI ISIPOTEZE KWA YANGA SC
SHOMARI Kapombe beki wa Simba SC amebainisha kuwa watajitoa kwa nguvu zote kuzuia makosa kwenye mchezo dhidi ya Yanga SC ili wasifungwe.
Mchezo wa funga...
Habari Kubwa Katika Magazeti ya Tanzania leo Septemba 16, 2025
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Septemba 16, 2025
Habari, Karibu katika blog yako bora ya habari za michezo ya Sokaleo kwa kuianza asubuhi...
HAWA HAPA WAAMUZI WA MCHEZO WA KARIAKOO DABI YA SEPT 16
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 katika mchezo wa...
HUYU HAPA MTANZANIA WA KWANZA KUPATA MEDALI YA DHAHABU
Mwanariadha Alphonce Felix Simbu ashinda mbio za riadha za dunia ambazo zinafanyika jijini Tokyo, nchini Japani na kumshinda mpinzani wake kwa tofauti ya sekunde...
BAJABER NA ALASSANE KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA YANGA
Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amethibitisha kuwa siku ya kesho watawakosa wachezaji wawili katika mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Yanga wachezaji...
MBOSSO AFUNGUKA ALMANUSURA AFARIKI KISA MAANDALIZI YA SIMBA DAY
Staa wa muziki wa bongefleva Mbosso Khan amewashukuru mashabiki,wanachama na viongozi wa Simba kwa kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye tamasha la Simba Day huku...
FADLU ASEMA YANGA NDIO WANA HOFU KULIKO SIMBA
Kocha Mkuu wa Simba amezungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kesho wa dabi ya kariakoo huku akiweka wazi hawana presha ya mchezo...
YAMEBAKI MASAA KUELEKEA DABI YA KARIAKOO
Yamebaki masaa kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii.
Ikumbukwe kwamba msimu...
JEAN AHOUA AINGIA KWENYE MTIHANI MWINGINE SIMBA
JEAN Ahoua kiungo mshambuliaji namba moja wa Simba SC kwenye mtihani mwingine ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids itakuwa Septemba...
ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC
Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa...
Yanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu
YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi ndani ya Uwanja Septemba 16 2025.
Zimebaki siku tatu kwa...
ARTETA: BUKAYO SAKA NA SALIBA HAWATAKI KUONDOKA ARSENAL
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema mazungumzo ya kandarasi za Bukayo Saka na William Saliba yanakwenda vizuri.
Wachezaji hao wawili muhimu wa Arsenal mikataba yao...
MAKOCHA WA MAN CITY & LIVERPOOL WAJIANA JUU KISA MCHEZAJI BORA
Pep Guardiola amepinga madai ya kocha wa Liverpool Arne Slot kwamba mchezaji wake mpya Alexander Isak ya kwamba ndiye mshambuliaji bora zaidi duniani, huku...
HILI NDIO TAMASHA LILIPENDEZA ZAIDI, KATI YA SIMBA DAY NA YANGA...
Kila msimu wa mpira wa miguu unapokaribia kuanza nchini Tanzania, macho na masikio ya mashabiki huzamia kwenye matamasha mawili makubwa Simba Day na Yanga...