Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » FEISAL KUONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA SIMBA?
    KITAIFA

    FEISAL KUONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA SIMBA?

    ChikaoBy ChikaoJuly 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    WAKATI jina la kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum likitajwa kuwa miongoni mwa wale ambao wamefuatwa kwenye sanduku la usajili la Simba SC katika kina cha Bahari ya Hindi inaelezwa kuwa jina hilo halipo.

    Taarifa zinaeleza kuwa jina la Fei limekutana na ugumu mzito kuwa ndani ya Simba SC hivyo jitihada zinaendelea kufanyika mpango ukiwa sawa utaratibu utafuatwa ili jina lake liongezwe katika orodha.

    Ikumbukwe kwamba Fei ana mkataba wa mwaka mmoja na Azam FC amekuwa akitajwa kuwa katika rada za Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids.

    Simba SC leo Julai 29 2025 ina jambo lake katika Hotel ya Johari Rotana ambapo taarifa zinaeleza kuwa kuna mdhamini mpya ambaye atatambulishwa.

    Kampuni moja kubwa inatarajiwa kutambulishwa kuwa mdhamini mkuu wa Simba SC kwa msimu wa 2025/26 huku wakitajwa kusitisha mkataba na moja ya kampuni kubwa iliyokuwa inawadhamini Simba SC.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTETESI: ‘AHOUA’ MTAMBO WA MABAO WA SIMBA, KUONDOKA MSIMU HUU
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATANO TAREHE 30-7-2025

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.