Klabu ya JKT Tanzania iliyowakaribisha Simba SC kwa maneno makali kabla ya mchezo, ikiwemo kuahidi kuwa Wekundu wa Msimbazi “hawatatoka salama” katika Uwanja wa Meja Jenerali…
Mchezo mkali wa Ligi Kuu NBC msimu wa 2025/26 unaendelea kupamba moto, ambapo timu ya JKT Tanzania inatarajiwa kuikaribisha Simba SC katika Uwanja wa Meja Jenerali…