Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Shabiki wa Yanga Afungiwa Miezi 12 Kwa Uharibifu wa Mali
    KITAIFA

    Shabiki wa Yanga Afungiwa Miezi 12 Kwa Uharibifu wa Mali

    ChikaoBy ChikaoMarch 20, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Shabiki maarufu wa Yanga, Carlos Leonard Mayangura, amefungiwa kwa muda wa miezi 12 kufuatia kuhusika katika tukio la uharibifu wa mali katika dimba la Uwanja wa Airtel Mtipa.

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi, shabiki huyo aliongoza kundi la mashabiki pamoja na baadhi ya maofisa wa ulinzi wa klabu kuvunja madirisha ya chumba cha kuvalia na kusababisha uharibifu wa mali za uwanja huo.

    Adhabu hiyo imetolewa na Bodi ya Ligi (TPLB) kupitia Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi, ambayo pia imeitoza Yanga SC faini ya shilingi milioni tano pamoja na kuagizwa kulipa gharama zote za matengenezo ya uharibifu uliofanyika.

    Tukio hilo lilitokea kabla ya mchezo kati ya Singida Black Stars na Yanga, uliomalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika uwanja huo.

    Hatua hiyo inalenga kudhibiti nidhamu kwa mashabiki na kulinda miundombinu ya viwanja, huku ikionya vitendo vya vurugu katika michezo ya ligi kuu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRefa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu
    Next Article Refa Aliyeinyima Singida Penati Dhidi ya Simba Afungiwa Mizunguko Mitatu

    Related Posts

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    March 20, 2026

    Refa Aliyeinyima Singida Penati Dhidi ya Simba Afungiwa Mizunguko Mitatu

    March 20, 2026

    Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

    March 20, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    AUDIO Hanstone Ft Nippi – Usijisumbue DOWNLOAD MP3

    Refa Aliyeinyima Singida Penati Dhidi ya Simba Afungiwa Mizunguko Mitatu

    Shabiki wa Yanga Afungiwa Miezi 12 Kwa Uharibifu wa Mali

    Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

    Senegal Wanyang’anywa Ubingwa wa AFCON Kwa Aibu Kubwa! Morocco Washinda Mezani

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.