Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป CHAMOU NI BEKI MZURI SANA WATU MSIMBEZE
    KITAIFA

    CHAMOU NI BEKI MZURI SANA WATU MSIMBEZE

    ChikaoBy ChikaoJanuary 11, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Karaboue Chamou
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email
    Nimeona baadhi ya mashabiki wa kandanda wakimtupia maneno ya kejeli beki wa kimataifa wa Ivory Karaboue Chamou anayeichezea klabu ya Simba kwa sasa.
    Mashabiki wengi wanamfuata na kumzodoa beki huyo kwenye mitandao ya kijamii mara baada ya Simba kupoteza mchezo wowote.
    Haya yote sababu yake nini? Na kwanini inakuwa hivyo.
    Kiufundi Karaboue Chamou ni beki mwenye nidhamu ya hali ya juu katika uchezaji wake. Ni beki tafu sana kama utaamua kwenda nae hewani au kufanya naye battle.
    Namkumbuka Karaboue Chamou aliyeifikisha Simba Hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika msimu uliopita mara baada ya Che Malone Fondoh kuumia na kuonekana kiwango chake kimedorora. What A Performance.
    Karaboue Chamou ni mchezaji mzuri saana lakini anakosa sifa moja ya speed pale ambapo anakutana na washambuliaji wenye speed kali.
    Simba mnaye beki mzuri endeleeni kumtia moyo ndiye beki a Simba kwa sasa aliye active.
    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSIMBA RASMI YAREJEA KAMBINI KUJIANDAA, MIPANGO NI MIKUBWA SASA
    Next Article AZAM YAMLETA HAALAND BONGO, ANA BALAA HATARI

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.