Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Watanzani wanunua kila goli la Stars AFCON kwa Milioni 100.
    KITAIFA

    Watanzani wanunua kila goli la Stars AFCON kwa Milioni 100.

    ChikaoBy ChikaoDecember 27, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    stars
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema amepigiwa simu na Watanzania mbalimbali ambao wameahidi kutoa Shilingi Milioni 100 kwa kila goli watakalofunga Taifa Stars siku ya leo dhidi ya Uganda na ile ya Tunisia Desemba 30 katika mashindano ya Afcon yanayoendelea nchini Moroco.

    Makonda amesema hayo alipokuwa akizungumza na wachezaji na benchi la ufundi la Stars kuelekea mchezo wao dhidi ya Uganda utakaochezwa siku ya leo katika dimba la Al Madina majira ya saa 2;30 usiku.

    “Kuwathibitisha kuwa Watanzania wako pamoja na nyinyi, juzi na jana nimepokea simu za Watanzania ninaowaamini na kuwaheshimu wameniambia nenda kawaambia vijana wa Taifa Stars tupo nao na kuanzia mechi ya Uganda na Tunisia Watanzania wananunua goli moja Sh100 milioni,” amesema Makonda.

    Taifa Stars inakutana na Uganda na Tunisia, baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya Nigeria kwa bao 2-1 mchezo uliochezwa Desemba 23, 2025.

    Taifa Stars
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMajeraha kumweka nje Alexander Isak kwa miezi miwili.
    Next Article Miaka 3 baada ya kuuzwa Everton, James Garner kurejea Man U

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.