Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MAKUBWA!! UWEPO WA ABRAHAM MORICE WAZUA BALAA HILI SIMBA
    KITAIFA

    MAKUBWA!! UWEPO WA ABRAHAM MORICE WAZUA BALAA HILI SIMBA

    ChikaoBy ChikaoNovember 11, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Abraham Morice
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa unajivunia uwepo wa kiungo mshambuliaji Abraham Morice kutokana na kazi kubwa anayofanya kwenye mechi za ushindani.

    Nyota huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi ambazo anapata nafasi ya kucheza akianzia benchi ama kikosi cha kwanza amekuwa akionyesha kitu.

    Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8,2025 alitoa pasi ya bao kwa Jonathan Sowah alipoanzia benchi.

    Wachezaji hao wote wawili kwenye mchezo huo walianzia benchi na mwisho ubao ulisoma JKT Tanzania 1-2 Simba SC walipovuna pointi tatu muhimu.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa wanatambua umuhimu wa kila mchezaji katika kikosi huku Morice akiwa na pasi za mpenyezo.

    “Abraham Morice amekuwa akifanya vizuri kwenye mechi ambazo anacheza, iwe anaanzia benchi ama kuanza kikosi cha kwanza. Katika mchezo wetu dhidi ya JKT Tanzania alianzia benchi na alipoingia alikuwa kwenye ubora katika pasi na mikimbio.Ametoa pasi ya bao kwa Simba Mweusi Jonathan Sowah hii ni kazi kubwa kwelikweli tunajivunia uwepo wake,”.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAAMUZI MAGUMU KUHUSU UTATA WA BAO LA SOWAH YATAJWA
    Next Article ALIEWAHI KUWA CEO WA SIMBA NA YANGA, ATUA TRA

    Related Posts

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    April 26, 2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    April 25, 2026

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    April 25, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    HILI HAPA DAU LA KUMPATA COLE PALMER

    TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI TAREHE 25.4.2025

    PRESHA YA KUUKOSA UBINGWA YATAWALA REAL MADRID

    TAREHE PAMOJA NA UWANJA AMBAO DABI YA KARIAKOO ITAPIGWA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.