🗣️Mke wa Ruben Amorim, Maria João: “Ruben amekuwa akikosa usingizi tangu alipokuja Uingereza. “Sio rahisi kamwe. Watu wanapaswa kuelewa kwamba, tumekatishwa tamaa na unyanyasaji anaopata. Nilimuuliza,…
Browsing: KIMATAIFA
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola umemalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea…
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Mshambuliaji wa Real Madrid Kylian Mbappé ameondoka kwenye kambi ya Timu ya Taifa na kurejea kwenye klabu yake…
Kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns Ian Gorowa ameachana na kazi hiyo ya kufundisha mpira wa miguu alikojipatia umaarufu na kuwa muhubiri wa Injili. Mshambuliaji huyo…
Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina…
Tangu achukue mikoba ya kuinoa Liverpool, kocha Arne Slot sasa amefikiwa na rekodi ya kusononesha sana ya kupoteza mechi 4 mfululizo kwenye ligi kuu Uingereza. Mechi…
Cristiano Ronaldo ameishauri klabu yake ya Al-Nassr kumsajili mshambuliaji wa Barcelona Robert Lewandowski ambaye atapatikana bila malipo mwishoni mwa msimu wa 2025-26. Mpaka sasa hakuna mazungumzo…
Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Morocco imeandika historia baada ya kutwaa taji la Kombe la Dunia la Vijana (FIFA…
Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia la 2034 litakalochezwa mnamo Januari 2035, badala ya ratiba ya kawaida ya Novemba hadi Disemba, mabadiliko ya kihistoria…
Klabu ya PSG imethibitisha kuwakosa wachezaji wake wanne kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Barcelona siku ya kesho ambao ni Khvicha Kvaratskhelia, Désiré…