Michuano ya Mataifa Barani Africa (AFCON) inatarajiwa kuanza kurindima leo huku timu kibao zikijidhatiti kupambana kwa hali na mali ili iweze kuchukua taji hilo. Bingwa mtetezi…
Browsing: KIMATAIFA
Kocha wa Barcelona Hansi Flick alitaja kutojumuishwa kwa Raphinha kwenye kikosi bora cha FIFA kuwa ni “utani,” akionyesha kutoamini kwamba winga huyo hakujumuishwa baada ya msimu…
Aime Bigiraneza, mchezaji chipukizi wa klabu ya daraja la pili ya Burundi Les Gêpiers du Lac, alianguka uwanjani na afariki dunia juzi tarehe 20 Desemba 2025.…
Gwiji wa soka la Hispania Sergio Ramos jana alihudhuria mechi ya Real Madrid dhidi ya Sevilla kwenye Uwanja wa Santiago Bernabéu kama mtazamaji. Huu ulikuwa wakati…
Rasmi michuano mikubwa ya soka barani Arika, Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025) itaanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia usiku wa leo Jumapili. Morocco ambao ni…
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye…
Arsenal wamerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) kufuatia ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Everton katika dimba la Hill Dickinson, jijini Liverpool. Bao pekee la mchezo…
Hii hapa ratiba ya AFCON 2025, nchini Morocco ni leo Desemba 21,2025 kazi inaanza na tamati inatarajiwa kuwa Januari 18, 2026 Jumapili, Desemba 21, 2025 Morocco…
Manchester United imeripotiwa kuwasilisha malalamiko kwa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Soka la Morocco kumzuia beki wao, Noussair Mazraoui, kucheza katika…
Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi Michuano ya AFCON 2025 inatarajiwa kuanza kutia vumbi Disemba 21 nchini Morocco, ambapo timu 24 zitachuana katika hatua ya…