Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi
    KIMATAIFA

    Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi

    ChikaoBy ChikaoDecember 16, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi

    Michuano ya AFCON 2025 inatarajiwa kuanza kutia vumbi Disemba 21 nchini Morocco, ambapo timu 24 zitachuana katika hatua ya makundi, zikisaka nafasi ya kusonga mbele hadi hatua ya mtoano. Ratiba hii imepangwa kutoa mfululizo wa michezo mikali, huku mataifa makubwa yakikabiliana na changamoto za mapema katika safari ya kutafuta ubingwa wa Afrika.

    Hapo chini ni mwongozo kamili na wenye maelezo ya kina kuhusu Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi, ikiwemo tarehe, muda wa mechi na pambano husika kulingana na taarifa rasmi zilizopo kwenye ratiba ya mashindano.

    Jumapili • 21 Desemba 2025

    • Morocco vs Comoros – 4:00 Usiku

    Jumatatu • 22 Desemba 2025

    • Mali vs Zambia – 11:00 Jioni
    • Afrika Kusini vs Angola – 2:00 Usiku
    • Misri vs Zimbabwe – 5:00 Usiku

    Jumanne • 23 Desemba 2025

    • Congo DR vs Benin – 9:30 Alasiri
    • Senegal vs Botswana – 12:00 Jioni
    • Nigeria vs Tanzania – 2:30 Usiku
    • Tunisia vs Uganda – 5:00 Usiku

    Jumatano • 24 Desemba 2025

    • Burkina Faso vs Equatorial Guinea – 9:30 Alasiri
    • Algeria vs Sudan – 12:00 Jioni
    • Ivory Coast vs Msumbiji – 2:30 Usiku
    • Cameroon vs Gabon – 5:00 Usiku

    Ijumaa • 26 Desemba 2025

    • Angola vs Zimbabwe – 9:30 Alasiri
    • Misri vs Afrika Kusini – 12:00 Jioni
    • Zambia vs Comoros – 2:30 Usiku
    • Morocco vs Mali – 5:00 Usiku

    Jumamosi • 27 Desemba 2025

    • Benin vs Botswana – 9:30 Alasiri
    • Senegal vs Congo DR – 12:00 Jioni
    • Uganda vs Tanzania – 2:30 Usiku
    • Nigeria vs Tunisia – 5:00 Usiku

    Jumapili • 28 Desemba 2025

    • Gabon vs Msumbiji – 9:30 Alasiri
    • Equatorial Guinea vs Sudan – 12:00 Jioni
    • Algeria vs Burkina Faso – 2:30 Usiku
    • Ivory Coast vs Cameroon – 5:00 Usiku
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSimba Yatia Fora, Yatoa Jezi Sawa na Bure
    Next Article Sowah na Kante Wafungiwa Michezo 5, Mwamuzi Mwinyimkuu Apewa Adhabu

    Related Posts

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    April 7, 2026

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    April 4, 2026

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    March 25, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.