Author: Chikao

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi aliyekuwa nahodha wa klabu ya Simba Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kwa mkataba wa miaka 2 hadi mwaka 2027. Tshabalala amejiunga na Yanga…

Mshambuliaji wa Slovenia kutoka RB Leipzig, Benjamin Sesko (22), anatumia mbinu za kisiasa katika usajili kwa kuzitumia Newcastle na Manchester United kuzipambanisha ili apate dili bora…