Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI MAURITANIA KWA MKAPA AGOSTI 6 2025
    KITAIFA

    TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI MAURITANIA KWA MKAPA AGOSTI 6 2025

    ChikaoBy ChikaoAugust 6, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    taifa stars
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemedi Selemani, amesema kuwa ana imani kubwa na kikosi kuelekea mchezo unaofuata wa Agosti 6, 2025 dhidi ya Mauritania unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.

    Kocha huyo amesisitiza kuwa lengo kuu ni kupata ushindi bila kujali idadi ya mabao kwenye mchezo wa leo unaotarjiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Suleiman amesema kuwa ushindi ndio jambo la msingi zaidi katika mashindano ndani ya uwanja jambo ambalo wanalitarajiwa baada ya dakika 90 za mchezo.

    “Naamini sana katika kupata ushindi haijalishi tutafunga magoli mangapi cha msingi ni kupata ushindi. Wachezaji wapo tayari na morali ni kubwa kuelekea kwenye mchezo wetu muhimu na tunawaheshimu wapinzani wetu.”

    Tanzania kwenye mchezo wa kwanza ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina Faso, mabao yalifungwa na Sopu na Mohamed Hussen Zimbwe Jr.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous Article“NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU” – MBAPPE
    Next Article Mkongomani wa Tabora asaini miwili Dodoma Jiji.

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.