Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MPANZU AWASILI KAMBINI MISRI, AKABIDHIWA VIFAA VYAKE
    KITAIFA

    MPANZU AWASILI KAMBINI MISRI, AKABIDHIWA VIFAA VYAKE

    ChikaoBy ChikaoAugust 6, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Mpanzu
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    ELLIE Mpanzu, winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids amewasili kambini rasmi Agosti 5 2025 kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26.

    Nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za watani wa jadi wa Simba SC ambao ni Yanga SC kuelekea msimu mpya wa 2025/26.

    Inaelezwa kuwa alichelewa kambini kutokana na matatizo ya kifamilia jambo ambalo lilimfanya akachelewa kujiunga na Simba SC kambini nchini Misri.

    Tayari kikosi cha Simba SC kimeanza maandalizi mapema kabla ya ligi kuanza. Ligi inatarajiwa kuanza kushika kasi Septemba 16 2025 ikiwa ni mwanzo wa msimu mpya.

    Baada ya kuripoti kambini, Mpanzu amekabidhiwa vifaa vya kazi kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na alipata muda kuwasilimia wachezaji wa timu hiyo.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKISA SIMBA, ZIMBWE AMJIA JUU ALI KAMWE ‘NAIHESHIMU SIMBA’
    Next Article JKT TANZANIA KUKOMAA NA KIPA NA BEKI ALIYETAJWA YANGA SC

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.