LATEST POSTS

PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 21 AGOSTI 2025

PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 21 AGOSTI 2025

0
PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 21 AGOSTI 2025
Camavinga

CAMAVINGA KUWA MBADALA WA BALEBA MAN UNITED

0
Klabu ya Manchester United imeripotiwa kumtazama kiungo wa Real Madrid Eduardo Camavinga kuwa mbadala kama watamkosa Carlos Baleba wa Brighton wanayemtazama zaidi kama chaguo...
Stars

MASHABIKI WA KENYA WAPANIA KUWAZUIA, WATANZANIA KUITAZAMA STARS DHIDI YA MOROCCO

0
Ripoti kutoka nchini Kenya zinadai kuwa baadhi ya mashabiki wa soka nchini humo wameanza zoezi la ununuzi wa tiketi za mchezo wa Tanzania dhidi...
Isak

ISAK AVUNJA UKIMNYA, ADAI KUNA USALITI UMEFANYIKA

0
Alexander Isak amevunja ukimya wake kuhusu mgomo wake wa Newcastle United kwa kauli mbaya ambapo anasema imani imepotea baada ya ahadi kuvunjwa. Jana alitoa taarifa...

FEISAL SALUM AFICHUA HESABU ZA TANZANIA CHAN 2024

0
WAKATI Tanzania Agosti 16 2025 kwenye mchezo wa CHAN 2024 ikishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Afrika ya Kati 0-0 Tanzania, kiungo Feisal...

SIMBA SC KUZINDUA UZI MPYA AGOSTI 27 2025

0
UONGOZI wa Simba SC umetaja siku rasmi itakayokuwa ni maalumu kwa uzinduzi wa uzi mpya wa timu hiyo kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa...

HII HAPA TAREHE YA MECHI YA SIMBA NA YANGA MWAKA HUU...

0
MECHI ya Simba na Yanga inatarajiwa kuchezwa mapema ikiwa ni ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26 kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii (Community Shield)...

SIMBA KUFUNGWA KWENYE PRE SEASON NI FAIDA KUBWA KWA KOCHA FADLU

0
Simba kupoteza mchezo wa kirafiki ni faida kubwa sana kwao kwa sababu itamsaidia kocha Fadlu Davids kujua changamoto zilizosalia kwenye timu yake na kuzifanyia...

MASHABIKI WA SIMBA SASA KUSAJILIWA KAMA WANACHAMA WAPYA

0
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Ally Mangungu, amesema maandalizi yote ya usajili wa wanachama yamekamilika na kwamba ndani ya miezi sita kuanzia sasa...

MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA

0
MASTAA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Romain Folz Agosti 19 2025 walikuwa kwenye mazoezi maalumu katika fukwe za Coco Beach Dar...

NASIMAMA NA SIMBA NA AZAM WALIOCHAGUA KUKAA KIMNYA

0
"Nimeona andiko la kaka yangu Jemedari Said kuzihusu Simba SC na Azam FC kutokutoa matokeo yao ya mechi zao za kirafiki walizocheza. Azam FC walifungwa...

RAIS WA FIFA AMPONGEZA KARIA KWA KUREJEA TENA MADARAKANI

0
Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ametuma salama za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu...

RAIS WA CAF AMPONGEZA RAIS WA TFF KWA KUREJEA TENA MADARAKANI

0
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu...

HAJI MANARA AWAVAA WAKENYA KISA KEJERI ZAO KWA STARS

0
Mdau maarufu wa mchezo wa mpira wa miguu Nchini Haji Manara amewajibu waandishi wa habari wa Kenya waliosema Taifa Stars wameumaliza mwendo kwenye mashindano...

AHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA

0
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba , Ahmed Ally, amesema wachezaji ambao itawatangaza si kama inamalizia zoezi la usajili, la hasha, bali...
Neymar

NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE

1
Nyota wa Brazil na klabu ya Santos Neymar Jr usiku wa kuamkia leo alitoka uwanjani akimwaga machozi baada ya kukumbana na kipigo kikubwa zaidi...
Neo Maema

MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

0
Baada ya mchezo na Uganda, nahodha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Neo Maema hakuwa na maneno mengi ya kuongea mbele ya waandishi...
azam

AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC

0
AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo...

LATEST POSTS

ZILIZOSOMWA ZAIDI WIKI HIII