Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป Mechi dhidi ya Man City kuamua hatma ya Alonso Real Madrid.
    KITAIFA

    Mechi dhidi ya Man City kuamua hatma ya Alonso Real Madrid.

    ChikaoBy ChikaoDecember 8, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Man City kuamua Alonso
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Real Madrid walizomewa walipolala kwa mabao 2-0 wakiwa nyumbani dhidi ya Celta Vigo katika mechi waliyomaliza wakiwa na wachezaji tisa.

    Celta walikuwa mkiani mwa La Liga kabla ya safari yao ya Bernabeu Jumapili usiku na bila ushindi wa ligi dhidi ya Real Madrid katika mechi 22.

    Lakini mabao ya Williot Swedberg kipindi cha pili yalihitimisha ushindi wa kwanza wa Celta dhidi ya Madrid tangu Mei 2014 na kuongeza shinikizo kwa kocha Xabi Alonso.
    Real Madrid sasa wameshinda mchezo mmoja tu kati ya michezo mitano iliyopita ya ligi na watashuka hadi nafasi ya tatu kwenye La Liga iwapo Villarreal watashinda mchezo wao mkononi.
    Gazeti la Uhispania AS linasema pambano la Ligi ya Mabingwa dhidi ya Manchester City Jumatano linaonekana likatoa taswira’ kwa Real Madrid na Alonso kwani hawatarajii kupoteza kwa Celta Vigo kuathiri ‘mustakhbali wake wa hivi karibuni’ katika kazi hiyo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNeymar JR acheza na kutupia licha ya kuwa na jeraha la goti.
    Next Article Kiwiko dhidi ya Anthony Mligo champonza Mayanga afungiwa mechi 5.

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.