Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป Davies afikiria kustaafu kucheza soka kisa majeraha
    KIMATAIFA

    Davies afikiria kustaafu kucheza soka kisa majeraha

    ChikaoBy ChikaoMarch 14, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Ulimwengu wa soka umeshtushwa na ripoti zinazodai kuwa nyota wa kimataifa wa Canada, Alphonso Davies, anafikiria kuachana na soka la ushindan.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 amepata jeraha jingine hivi karibuni katika mchezo dhidi ya Atalanta, ikiwa ni mfululizo wa matatizo ya majeraha yanayomwandama.

    Inasemekana kuwa maumivu ya mwili na shinikizo la kisaikolojia linalotokana na majeraha ya mara kwa mara yamemfanya Davies kutafakari kwa kina kuhusu mustakabali wake, licha ya kuwa bado yuko katika umri wa kiwango cha juu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAncelotti amvuta tena mwanae Brazil
    Next Article Bilioni Zatengwa 388.8 Kujenga AFCON City Unguja

    Related Posts

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    April 17, 2026

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    April 16, 2026

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.