Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Davies afikiria kustaafu kucheza soka kisa majeraha
    KIMATAIFA

    Davies afikiria kustaafu kucheza soka kisa majeraha

    ChikaoBy ChikaoMarch 14, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Ulimwengu wa soka umeshtushwa na ripoti zinazodai kuwa nyota wa kimataifa wa Canada, Alphonso Davies, anafikiria kuachana na soka la ushindan.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 amepata jeraha jingine hivi karibuni katika mchezo dhidi ya Atalanta, ikiwa ni mfululizo wa matatizo ya majeraha yanayomwandama.

    Inasemekana kuwa maumivu ya mwili na shinikizo la kisaikolojia linalotokana na majeraha ya mara kwa mara yamemfanya Davies kutafakari kwa kina kuhusu mustakabali wake, licha ya kuwa bado yuko katika umri wa kiwango cha juu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAncelotti amvuta tena mwanae Brazil
    Next Article Bilioni Zatengwa 388.8 Kujenga AFCON City Unguja

    Related Posts

    HILI HAPA DAU LA KUMPATA COLE PALMER

    April 25, 2026

    PRESHA YA KUUKOSA UBINGWA YATAWALA REAL MADRID

    April 25, 2026

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    April 17, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Wafungaji Bora Mapinduzi Cup 2026

    Mshindi lazima apatikane leo Yanga SC vs Simba SC, Muungano CUP

    IBENGE AKIRI KUTORIDHISHWA NA KIWANGO CHA WACHEZAJI WAKE

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    HILI HAPA DAU LA KUMPATA COLE PALMER

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.