Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป Yanga Yaondoka Mapema Kuwawahi Waarabu Algeria
    KITAIFA

    Yanga Yaondoka Mapema Kuwawahi Waarabu Algeria

    ChikaoBy ChikaoNovember 24, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MSAFARA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pedro unatarajiwa kuanza safari mapema leo Novemba 24,2025 kuelekea nchini Algeria.

    Yanga SC baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AS FAR Rabat ina kibarua kingine kwenye kundi B Novemba 28,2025 mchezo wa kwanza ugenini katika hatua ya makundi.

    Ipo wazi kuwa ni Prince Dube alifunga bao la ushindi kwenye mchezo uliopita Uwanja wa New Amaan Complex akitumia pasi ya kiungo Mudathir Yahya.

    Inatajwa kuwa Yanga SC wanahitaji kuondoka mapema ili kufanya maandalizi mazuri kwa wakati na kupata matokeo kwenye mchezo ujao.

    Leo Yanga SC wataanza safari kuelekea Algeria ambapo watakwenda kukabiliana na JS Kabylie iliyotoka kupoteza kwa kufungwa mabao 4-1 dhidi ya vinara wa kundi A l Ahly ya Misri.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSimba Yapoteza Mbele ya Petro de Luanda, Yaburuza Mkia Kundi la CAFCL
    Next Article Uwanja wa Mkwakwani Tanga Wafungiwa na Bodi ya Ligi

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.