Timu ya Taifa ya Tanzania national football team imepata pigo kubwa katika safu yake ya ulinzi baada ya mabeki wake watatu kupata majeraha makubwa yaliyowalazimu kufanyiwa…
Author: Chikao
UONGOZI wa klabu ya Simba SC umeweka wazi hali ya wachezaji wake waliopo majeruhi, huku beki Wilson Nangu akitarajiwa kurejea uwanjani Julai mwaka huu baada ya…
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza Kanda ya Unguja, Black Sailors, wamesema msimamo umekuwa hamasa nzuri ya kuanza mazoezi kwa ari zaidi. Kauli hiyo imetolewa na…
Kocha mkuu wa Chelsea FC, Liam Rosenior, amesema klabu hiyo “imepata mchezaji bora zaidi duniani katika nafasi yake” baada ya beki wa kulia Reece James kusaini…
LICHA ya kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na kusumbuliwa na majeraha, kiungo wa timu hiyo Mohammed Bajaber,…
KUELEKEA mchezo wa kesho wa Der es Salaam Derby wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kocha mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, Amesema kuwa timu yake inakutana na…
Tanzania Yatoa Zaidi ya Sh80 Bilioni CAF Ili Kuwa Mwenyeji wa AFCON 2027 Serikali ya Tanzania imelipa Dola Milioni 32 za Marekani, sawa na zaidi ya…
Bilioni 388.8 Kujenga AFCON City Unguja Zanzibar, Tanzania; Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza mpango wake wa kuimarisha miundombinu ya michezo kuelekea AFCON 2027, ikitangaza…
Ulimwengu wa soka umeshtushwa na ripoti zinazodai kuwa nyota wa kimataifa wa Canada, Alphonso Davies, anafikiria kuachana na soka la ushindan. Beki huyo mwenye umri wa…
Davide Ancelotti, mtoto wa Carlo Ancelotti amerejea katika upande wa baba yake kama Kocha Msaidizi wa timu ya taifa ya Brazil baada ya kuacha kazi kama…