Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TANZANIA VS MADAGASCAR CHAN 2024 KWA MKAPA KESHO
    KITAIFA

    TANZANIA VS MADAGASCAR CHAN 2024 KWA MKAPA KESHO

    ChikaoBy ChikaoAugust 8, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    stars
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Agosti 9 2025 inatarajiwa kucheza mchezo wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024). Huo utakuwa ni mchezo wa tatu kwa Tanzania. Ni Tanzania vs Madagascar CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa.

    Mechi mbili zilizopita Tanzania ilipata ushindi kwa kuvuna pointi sita muhimu. Inatarajiwa kukutana na upinzani mkubwa kutoka kwa Madagascar. Timu hizi zote mbili zipo Kundi B ambalo vinara ni Tanzania.

    Hemed Suleman Kocha Mkuu wa Tanzania amesema kuwa kila mchezo ni muhimu. Kocha huyo alibainisha kuwa hakuna timu ambayo haifikirii kupata ushindi. Licha ya yote hayo kocha huyo aliweka wazi kuwa ambao wanahitaji ni ushindi.

    “Tuna kazi kubwa kwenye mechi zetu ambazo tunacheza. Maandalizi yapo vizuri hasa ukizingatia kwamba tulikuwa na kambi imara. Licha ya kwamba tumepata ushindi kwenye mechi zetu zilizopita bado tuna kazi kwa ajili ya mchezo wetu ujao,”.

    Katika mechi mbili Tanzania ilifunga jumla ya mabao matatu, inaongoza kundi B ikiwa na pointi 6 kibindoni baada ya kucheza mechi zote Uwanja wa Mkapa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMIGUEL GAMONDI AANZA KAZI RASMI SINGIDA BLACK STARS
    Next Article YANGA SC WAPO KAZINI, KUMSHUSHA WINGA WA KAZI

    Related Posts

    HAJI MANARA AIJIA JUU YANGA, ASEMA ATAWACHAPA VIBOKO

    April 30, 2026

    HANS RADAEL: YANGA INAHITAJI MABORESHO MAKUBWA SANA

    April 30, 2026

    MECHI NA SIMBA ILIKUWA YA KIRAFIKI

    April 30, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HAJI MANARA AIJIA JUU YANGA, ASEMA ATAWACHAPA VIBOKO

    HANS RADAEL: YANGA INAHITAJI MABORESHO MAKUBWA SANA

    MECHI NA SIMBA ILIKUWA YA KIRAFIKI

    Wafungaji Bora Mapinduzi Cup 2026

    Mshindi lazima apatikane leo Yanga SC vs Simba SC, Muungano CUP

    IBENGE AKIRI KUTORIDHISHWA NA KIWANGO CHA WACHEZAJI WAKE

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.