Klabu ya Young Africans SC (Yanga) inadaiwa kuanza mazungumzo ya awali na winga wa Singida Black Stars, Lamin Jarjou, kwa lengo la kumsajili kuelekea msimu wa…
Author: Chikao
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema timu hiyo itawakosa baadhi ya nyota wake muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
aada ya uwepo wa tetesi kuhusu Yanga kumuhitaji Selemani Mwalimu Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imekanusha taarifa hizo kuhusu kuvutiwa na mshambuliaji wa Simba SC,…
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Misri (EFA) limewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana mwamuzi na wasaidizi wake waliohusika katika mchezo wa daraja la pili kati ya…
KLABU ya Singida Black Stars imeendelea kuonyesha makucha yake baada ya kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, kufuatia ushindi mnono wa…
Nahodha wa Manchester City, Bernardo Silva (31), rasmi ameagwa na klabu hiyo kufuatia kumalizika kwa mkataba wake, akihitimisha safari yake ya kihistoria jijini Manchester. Silva, aliyejiunga…
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amewatoa hofu mashabiki wa klabu hiyo kwa kuwataka kuwa watulivu licha ya mwenendo wa…
KLABU ya Simba tayari imeanza kuandaa mikakati mikubwa kwa ajili ya msimu ujao, ikiwemo usajili wa wachezaji wapya na uwezekano wa kujenga uwanja mpya katika eneo…
Kiungo mzoefu wa klabu ya Yanga, Aboubakar Salum ‘Sure Boy’, ameripotiwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi hicho kufuatia kile kinachotajwa kuwa ni kukosa nafasi ya kutosha…
Mchambuzi mkongwe wa soka, Edo Kumwembe, ametoa kauli nzito akiamini kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chota Chama, anakaribia kufikia mwisho wa soka lake la…