AMEWEKWA mtu kati mwamba wa Lusaka Clatous Chama akitajwa kuwa kwenye rada ya timu mbalimbali ambazo zinahitaji saini yake https://youtu.be/46X9WVgpG6o
Browsing: Simba SC
WAKIWA kwenye mbio za kujinasua kutoka nafasi ya tatu waliyodumu kwa muda mrefu msimu wa 2023/24 orodha ya wachezaji ambao hawapo fiti imeongezeka. Aprili 30…
Uongozi wa klabu ya Simba Uongozi umemteua Kocha Juma Mgunda kukinoa kikosi cha Simba akisaidiwa na Selemani Matola hadi hapo…
BAADA ya kukamilisha kazi ya dakika 180 kwenye msako wa Kombe la Muungano, mabingwa wapya ambao ni Simba wamewasili Dar. Kombe la Muungano 2024 lilifanyika…
Kiungo wa Simba Clatous Chama anayemaliza mkataba mwishonimwa msimu huu ametajwa kuhusishwa na Yanga, zikiwa zimebaki wiki chache kabla msimu…
HATIMAYE mabingwa wapya wa Muungano 2024 ni Simba baada ya kushinda katika mchezo wa fainali dhidi ya Azam FC. Baada…
MWAMBA Michel Fred ambaye Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba anapenda kumuita fungafunga ameweka wazi kuwa mashabiki waendelee kuwa…
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kombe la Muungano dhidi yaKVZ ambao unatarajiwa kuchezwa leo Aprili 24,…
HENOCK Inonga katika Ligi Kuu Bara sio chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Abdelhakh Benchikha kwa kuwa anatumia muda mwingi nje ya…