Klabu ya Simba imeripotiwa kupokea mwaliko kutoka nchini Rwanda wa klabu ya APR kucheza mechi ya kirafiki. APR ambayo itaiwakilisha Rwanda kwenye michuano ya ligi ya…
Browsing: KITAIFA
Tetesi za Usajili Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2025/2026 Baada ya msimu wa 2024/2025 kumalizika kwa shamrashamra za mafanikio kwa baadhi ya vilabu, sasa ni…
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amekabidhiwa rungu la kufanya maamuzi kwa wachezaji ambao wanapaswa kuondoka katika kikosi hicho na wale ambao watabaki kwa msimu…
KHALID Aucho kiungo mkabaji wa Yanga SC huenda akaongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Jangwani. Yanga SC ni mabingwa wa ligi…
FEISAL Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC kuna asilimia ndogo kuondoka kwenye viunga hivyo kutokana na dau ambalo mabosi wamemuongezea kuelekea msimu wa 2025/25. Taarifa zilikuwa…
INAELEZWA kuwa Celestin Ecua ambaye ni kiungo wa Zoman FC huenda akasaini mkataba wa miaka miwili kuwa katika kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
MABINGWA mara 31 ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC inatajwa kuwa imefikia makubaliano na kiungo mshambuliaji wa Tabora United, Offen Chikola kwa ajili ya…
SIMBA SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC 2024/25 bado ipo kwenye mchakato wa kuendelea kujenga kikosi. Ikumbukwe…
Klabu ya Simba Queens imetangaza kuachana na wachezaji 11 waliohudumu katika kikosi chao katika misimu iliyopita. Wachezaji hao ambao wamepewa mkono wa kwaheri na wekundu wa…
Tetesi Za Usajili Yanga Leo 2025/2026 | Habari Mpya za Usajili Yanga SC Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League), Yanga SC, wameanza…