Kocha wa Bayern Munich ya Ujerumani, Thomas Tuchel ambaye amepanga kuondoka kwa wakali hao mwishoni mwa msimu huu huenda akatua…
Browsing: KIMATAIFA
MAHAKAMA ya juu ya Catalonia nchini Hispania imemuhukumu kutumikia jela miaka minne na nusu nyota wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil…
Mabingwa wa Afrika kwa ngazi ya klabu Al Ahly kutoka nchini Misri wamejikuta katika wakati mgumu wakiwa huko nchini Ghana…
WAKIWA Anflield wamebakiza pointi tatu mazima kwa USHINDI dhidi ya Luton Town mchezo wa Premier League. Wababe hao walipindua meza kibabe wakiwa nyumbani na kukomba pointi…
MAMIA ya mashabiki wa soka nchini Ghana wameingia mitaani katika mji mkuu wa nchi hiyo Accra wakitaka utawala bora wa…
Mashabiki wa Juventus walipia matangazo ya mabango yaliyoandikwa ‘Allegri Out’ sehemu mvbalimbali ikiwemo katika eneo la Times Square huko New…
Wenyeji wa Fainali za Afcon 2023, Ivory Coast imetwaa taji la michuano hiyo mikubwa Afrika baada ya kuifunga Nigeria mabao…
Kocha wa Timu ya Taifa Afrika Kusini, Hugo Broos baada ya jana kupoteza mchezo wao wa nusu fainali ya #AFCON2023 dhidi ya…
Lucas Bergvall raia wa Sweden (18), Kinda anayecheza nafasi ya kiungo rasmi amemwaga wino kwenye klabu ya Tottenham akitokea klabu…
Rais wa Chama cha Soka Cameroon (Fecafoot), Samuel Eto’o ambaye ni mchezaji wa zamani pia wa Taifa hilo ametuhumiwa kuhusika…