KITAIFA

TAIFA STARS YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA GUINEA

TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imechukua alama zote tatu dhidi ya wenyeji, Guinea katika dimba la Charles Konan Banny, Yamoussoukro Ivory Coast kwenye mchezo wa Kundi H.

Guinea 1-2 Tanzania
⚽ Bayo 57’
⚽ Feitoto 61’
⚽ Mudathir 88’

Stars imefikisha pointi 4 baada ya mechi mbili inasalia nafasi ya pili kwenye Kundi H alama mbili nyuma ya vinara DR Congo.

𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: KUFUZU #AFCON 2025
Botswana 🇧🇼 0-4 Egypt 🇪🇬
Gabon 🇬🇦 2-0 Central African Republic 🇨🇫
Liberia 🇱🇷 0-3 Algeria 🇩🇿
Namibia 🇳🇦 1-2 Kenya 🇰🇪
Zimbabwe 🇿🇼 0-0 Cameroon 🇨🇲

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button