Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป LIVERPOOL ILIMCHELEWESHA SANA LUIS DIAZ
    KITAIFA

    LIVERPOOL ILIMCHELEWESHA SANA LUIS DIAZ

    ChikaoBy ChikaoFebruary 10, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Diaz
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    LUIS DIAZ yupo kiwango bora cha maisha yake akiwa na Bayern Munich hii ni ‘material’ ya Ballond’or kabisa, tangu atue kwa wabishi hao wa soka la Ujerumani amekuwa nyota muhimu mno kwenye kikosi hicho.

    Hadi sasa amehusika kwenye mabao 30 ndani ya michezo 30 aliyoiwakilisha nembo ya mabosi zake.

    Kama Bayern Munich watashinda mataji makubwa na timu yake ya taifa ya Colombia ikafanya vizuri kwenye Kombe la Dunia basi huenda tukazungumza mengine kwenye Ballon d’or mwaka huu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleLOEMBA, CHAMA KUWA PAMOJA LIGI KUU HAITAELEWEKA
    Next Article ROONEY AMTABIRIA MABAYA ARTETA, AMSHAURI APIGE KAZI

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.