Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Nzengeli Afanya Mazoezi na Yanga Princess
    KITAIFA

    Nzengeli Afanya Mazoezi na Yanga Princess

    ChikaoBy ChikaoDecember 21, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    nzengeli
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Wakati huu programu za mazoezi za timu za Ligi kuu wanaume zikiwa zimesimama na wachezaji wengi wakiwa kwenye majukumu ya timu zao za taifa kwenye michuano ya AFCON huku wengine wakiwa mapumziko, mchezaji kiraka wa Yanga SC Max Ngengeli ameonekana akifanya mazoezi va timu ya wanawake ya Yanga.

    Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii Yanga Princess jana walichapisha picha za Max akifanya mazoezi na timu hiyo inayojiandaa na mechi ya Ligi kuu wanawake itakazoendelea kesho tarehe 22 dhidi ya Geita Gold Queens.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSergio Ramos arejea Bernabéu Baada ya Miaka Mitano
    Next Article Mchezaji aanguka na kufariki Burundi

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.