Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » RUSHINE AFUNGUKA SIRI YA KUWA BEKI NA KUWA KINARA WA UFUNGAJI MABAO
    KITAIFA

    RUSHINE AFUNGUKA SIRI YA KUWA BEKI NA KUWA KINARA WA UFUNGAJI MABAO

    ChikaoBy ChikaoOctober 2, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Screenshot
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Beki Rushine De Reuck amefunga bao lake la pili la msimu na kuwa kinara wa magoli akiwa na magoli mawili sawa na Paul Peter wa JKT Tanzania na Faisal Salum ‘Feitoto’ wa Azam FC

    Akizungumza amesema “Kwangu mimi ushindi wa timu ndio jambo muhimu, kuhakikisha tunafikia malengo na mafanikio ya juu, Sijui ni bahati tu kuzipata nafasi za kufunga ila lengo ni kuleta ushindi kwenye timu na nafasi ikipatikana unajarib kuitumia” Alisema Rushine De Reuck.

    Lakini pia Selemani Mwalimu ‘Gomez’ amefungua akaunti yake ya magoli kwenye Ligi Kuu bara msimu wa 2025/26 wakati Simba Sc ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Namungo Fc katika dimba la Benjamin Mkapa kukwea kileleni alama 7 baada ya mechi mbili.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 2, 2025
    Next Article “MPANZU AJIFUNZE KUCHEZA KAMA STAA WA TIMU”

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.