Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป KOCHA WA GABORONE KURITHI MIKOBA YA FADLU SIMBA
    KITAIFA

    KOCHA WA GABORONE KURITHI MIKOBA YA FADLU SIMBA

    ChikaoBy ChikaoOctober 3, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa Bulgaria Dimitar Pantev mwenye miaka 49 huenda akapewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa hakina kocha mkuu.

    Taarifa zinaeleza kuwa muafaka mzuri umefikiwa kwa pande zote mbili ambapo mpango kazi ukikamilika atakuja Tanzania kuchukua nafasi ya Fadlu Davids aliyepata dili Raja Casablanca na tayari ameanza kazi.

    Inaelezwa kuwa Simba wamekubali kulipa fidia za kuvunja mkataba wa kocha huyo aliyekuwa anaifundisha Klabu ya Gaborone United ya Botswana.

    Ikumbukwe kwamba Gaborone United ilicheza na Simba SC katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, katika mchezo uliochezwa Dar kocha huyo alikuwa kwenye benchi la ufundi la Gaborone United.

    Kocha huyo aliwahi kuzifundishwa klabu za Orapa United, Victoria United na FC Johansen anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania mwishoni mwa wiki kukamilisha mpango kazi wa kujiunga na Simba SC.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMBINU ZA TUCHEL ZAWATEMA BELLINGHAM, FODEN NA GREALISH
    Next Article KOCHA ANAETAJWA KUTUA SIMBA AAGWA NA KLABU YAKE RASMI

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.