Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » COASTAL UNION IMEMPA “THANK YOU” KOCHA WAKE MKUU
    KITAIFA

    COASTAL UNION IMEMPA “THANK YOU” KOCHA WAKE MKUU

    ChikaoBy ChikaoOctober 2, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Uongozi wa Klabu ya Coastal Union umetangaza rasmi kufikia makubaliano ya pande zote mbili kusitisha kandarasi ya Kocha Mkuu, Ali Mohammed Ameir.

    Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imemshukuru Ameir kwa mchango na huduma yake kwa kipindi chote ambacho aliiongoza timu, ikisisitiza mchango wake kuwa wa thamani kubwa katika maendeleo ya kikosi hicho.

    Coastal Union wameweka wazi kuwa watatoa taarifa kwa umma hivi karibuni kuhusu mabadiliko na muundo mpya wa benchi la ufundi muda mchache ujao.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous Article“MPANZU AJIFUNZE KUCHEZA KAMA STAA WA TIMU”
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 3, 2025

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.