Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC
    KITAIFA

    ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC

    ChikaoBy ChikaoSeptember 14, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja.

    Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake, beki huyo 2024/25 alikuwa katika kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    “Tamasha limeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mashabiki wamejitokeza wengi na hii ni ishara kuwa huu ni mwanzo mzuri kuelekea katika msimu mpya.

    “Kuna vipaji vingi ambavyo vipo ndani ya Yanga SC na nina amini kwamba nami nimeongezeka. Ninashukuru kwa kuwa nipo katika timu ambayo ina talent kubwa.

    “Ninaona mbali zaidi kwa kuwa kila mchezaji anaipigania nembo ya timu nami nimeongezeka. Wananchi ninawapenda na nina amini tutakuwa kwenye kazi kubwa kwa ajili ya kufikia mafanikio,”.

    Mchezo ujao kwa Yanga SC ni Septemba 16 2025 dhidi ya waajiri wake wa zamani Simba SC. Huu utakuwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii, mchezo maalumu wa ufunguzi wa ligi msimu wa 2025/26 utachezwa Uwanja wa Mkapa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu
    Next Article JEAN AHOUA AINGIA KWENYE MTIHANI MWINGINE SIMBA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.