Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE
    KITAIFA

    YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE

    ChikaoBy ChikaoSeptember 19, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    IBRAHIM Bacca beki wa Yanga SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Williete SC ya Angola unaotarajiwa kuchezwa leo Septemba 19 2025.

    Septemba 18 2025 kikosi cha Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz kilifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao wakiwa ugenini.

    “Kila mchezaji yupo tayari na Wananchi waendelee kutuombea kwa ajili ya mchezo wetu tunamshukuru Mungu temefika salama. Nimekuwa hapa kwenye majukumu yangu na nikipata nafasi nitahakikisha tunapata matokeo mazuri ugenini.

    “Kupata nafasi kwenye mechi ambazo tunacheza kwangu ni jambo zuri hasa ukizingatia hii ni kazi yangu. Wachezaji wote tupo tayari na tunapambana kuona kwamba mashabiki wanapata furaha.”

    Bacca alikuwa miongoni mwa wachezaji ambao walianza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC uliochezwa Uwanja wa Mkapa Septemba 16 2025.

    Katika mchezo huo Yanga SC ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Pacome kiungo mshambuliaji wa Yanga SC.

    Wiliete SC ni klabu ya Angola inayopatikana huko Benguela. Ingawa ni klabu changa, imethibitisha kasi ya ukuaji wake kwa kushiriki kwenye ligi kuu ya Angola (Girabola), na kushika nafasi za juu kabisa. Kwa upande wa Yanga SC wanauendea mchezo huu wakiwa ni mojawapo ya klabu kubwa.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA
    Next Article ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIOPO BOTSWANA

    Related Posts

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    April 19, 2026

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    April 19, 2026

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    April 19, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: YANGA YAHAMISHIA MAJESHI KWA WINGA WA SINGIDA

    KIBABAGE NA KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA NAMUNGO

    KAMWE AZUNGUMZA JUU YA YANGA KUMSAJILI “SELEMANI MWALIMU”

    REFA ATUMIA SIMU KAMA VAR

    SINGIDA BLACK STARS WAZIPIGA MKWARA SIMBA, YANGA NA AZAM FC

    BERNARDO AAGWA NA MAN CITY RASMI

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.