Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SOWAH NA BAJABER PIGO LINGINE SIMBA
    KITAIFA

    SOWAH NA BAJABER PIGO LINGINE SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 10, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    sowah na bajaber
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Simba itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu hiyo watamuona mshambuliaji huyo raia wa Ghana kwenye mchezo wa leo wa Tamasha la Simba Day:

    Baada ya Simba Day leo, Septemba 16, 2025 Simba itakutana na Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii. Wakati leo Simba ikiadhimisha Tamasha la Simba Day pale Uwanja wa Benjamin Mkapa, taarifa mbaya ni kukosekana kwa kiungo fundi wao mpya Mohammed Bajaber.

    Taarifa kutoka Simba ni, Bajaber aliumia tangu akiwa nchini Misri kwenye kambi ya wekundu hao iliyohitimishwa Agosti 28 mwaka huu. Staa huyo aliyesajiliwa na Simba kutoka Kenya Police FC, ataukosa pia mchezo wa leo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Gor Mahia kutoka Kenya kutokana na majeraha hayo. Kiungo huyo ambaye licha ya leo kutambulishwa lakini anatarajiwa kutocheza mechi hiyo ya kirafiki.

    Source: Sports Arena

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKOMBE LA DUNIA 2026: WAFUNGAJI BORA AFRIKA WATAWAPELEKA WAPI MATAIFA YAO?
    Next Article RASMI DEPAY AFIKIA REKODI YA VAN PERSIE UHOLANZI

    Related Posts

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    April 12, 2026

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.